Walisahau kumbakishia ukoko kidogo wakati wa kula.Kub au kuberi maana sioni hiyo nafasi.
Huyo huyo mkuu
Mdee ndio KUBAliandaliwa awe KUB
Hahahah TLP Walitangaza kumuunga mkono MAGUFULI kukawa kimyaa. Walivyotanga ACT na CDM kuungana mkono. Wakasema wanawachanganya wapiga kura. Nchi hiiSwali hili pia ningependa Kama litajibiwa na CCM B yani TLP.
Halafu ikawaje ?Aliandaliwa awe KUB
Wacha weeee !!Mbatia ni mwanasiasa mwenye busara na hekima!
Vipi naona mnataka kumpa kadi!Wacha weeee !!