pakaywatek
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 4,660
- 6,282
"Sisi NCCR-Mageuzi tunatoa pole kwa polisi waliouawa juzi, tunatoa pole za dhati kwasababu ni binadamu, wametoa uhai wao. Tunatoa pole kwa familia ya Hamza pia kwasababu huyu ni binadamu, wasiendelee kujenga chuki, tunatoa pole kwa wote, roho za binadamu zilizoondolewa.
Tunatoa pole kwa chama cha Mapinduzi kwa kuwa Hamza alikuwa kada wa chama cha mapinduzi. Si wakubali tu! Unaweza ukawa na watoto, mtoto mwingine hayuko vizuri lakini ni binadamu, kwanini wanakataa Hamza sio mwanachama wao, ni mwanachama wao, ni kweli amefanya tukio hilo wakubali, wajiangalie, wajitazame upya kwanini mambo hayo yanatokea.
Ndio maana sisi tunatoa pole kwa chama cha mapinduzi kwa kuondokewa na kada wao, ndugu Hamza katika mazingira ya ajabu sana"
James Mbatia
Mwenyekiti-NCCR Mageuzi
Tunatoa pole kwa chama cha Mapinduzi kwa kuwa Hamza alikuwa kada wa chama cha mapinduzi. Si wakubali tu! Unaweza ukawa na watoto, mtoto mwingine hayuko vizuri lakini ni binadamu, kwanini wanakataa Hamza sio mwanachama wao, ni mwanachama wao, ni kweli amefanya tukio hilo wakubali, wajiangalie, wajitazame upya kwanini mambo hayo yanatokea.
Ndio maana sisi tunatoa pole kwa chama cha mapinduzi kwa kuondokewa na kada wao, ndugu Hamza katika mazingira ya ajabu sana"
James Mbatia
Mwenyekiti-NCCR Mageuzi