Hapana mkuu. Huyu mama amepwaya sana. Mfumuko wa bei kwa bidhaa zote nchini!!wapinzani hawajawahi kukosa neno..........kila awamu wanaponda
Hivi huyu Prof Mkenda ni Alumni ya wapiYaani Rais anamjibu waziri wake kuwa kaongea nonsense katika jukwaa la Kimataifa!
Dah! Hii nahisi ni aibu inayonishika mimi!
Baaday ya kumleta makamba ikabidi nivyuo na jazz yangu kabisaMwenyekiti wa NCCR Mageuzi, James Mbatia amesema Ufanisi na kuaminika serikali ya awamu ya sita umeondoka kabisa pia Mbatia amesema kuna mpasuko mkubwa Serikalini.
Mbatia amedai kukosekana kwa uchaguzi mwaka jana kumeleta matatizo mengi na hali sio nzuri.
Sehemu nyengine waziri huyu ameshajiuzulu kitambo.Kwetu unakula matusi na bado unauchuna.hahahhaaaaaaYaani Rais anamjibu waziri wake kuwa kaongea nonsense katika jukwaa la Kimataifa!
Dah! Hii nahisi ni aibu inayonishika mimi!
Kila thread upoHali ni mbaya sn hakuna kificho