Pre GE2025 James Mbowe: Serikali imechangia Wananchi Kudharau Uchaguzi, Tulienguliwa kwa Sifa ya Kutokujua Kusoma na Kuandika

Pre GE2025 James Mbowe: Serikali imechangia Wananchi Kudharau Uchaguzi, Tulienguliwa kwa Sifa ya Kutokujua Kusoma na Kuandika

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Mwanachama wa CHADEMA James Mbowe, amelaumu serikali kwa kuunda mazingira yanayowafanya wananchi kudharau mchakato wa uchaguzi. Akizungumza na Jambo Tv, Mbowe ameeleza kwamba wananchi wengi wanajua ni nani wamemchagua, lakini hawajawahi kujua matokeo halisi ya uchaguzi, hali ambayo inachangia kuporomoka kwa imani katika demokrasia.
 
Back
Top Bottom