Jamhuri Kihwelu ana chuki, angekuwa kocha mzuri asingekuwa anazurula Posta kila siku

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
Kuna baadhi ya vyombo vya habari havina kabisa weledi, hivi kweli unaweza kumuita Julio kwenye media ukaongea nae masaa 2? Ni faida gani atakupa kwa watazamaji ama wasikilizaji? Hana hoja yoyote ya maana anayoweza kuongea watu wakaifanyia kazi, hivi kweli unaweza kumfananisha mla sigara bwege na Chama?

Mla sigara bwege kacheza Simba lipi hasa alilolifanya, hivi ukipima mafanikio ya Chama na mla sigara pori mizani itaegemea wapi?

Halafu nyie mnaomhoji huyo Julio muulizeni kwann huna timu? Alikuwa anafundisha Namungo lkn kila siku yuko dar, we kocha wa ukweli utakosa timu ya kufundisha kweli? Pumbavu
 
Huo wivu tu Julio alicheza mpira usimfananishe na hao vibwengo
 
Hebu kunywa maji mengi ili upunguze hasira. Maana inaonekana huyo Julio amekuvuruga kweli kweli.
 
Kocha Kaze alisema alishangaa kumuona Julio kwenye benchi Namungo.
Yeye alijua tu jamaa ni oya oya tu mtaani hakujua kama ni kocha.
Na kocha wa Uganda U_20 aliwahi sema Tanzania Ina wachezaji wazuri ila Wana kocha mhamasishaji badala ya mfundishaji
 
Kitu msichokijua wasafi wanatumiwa na manara kupitia diamond kuichafu Simba kwa hali yoyote ile.
 
Kingine msichokijua mond anamtumia manara kuvuta wateja kwenye biashara yake ya media.
 
Kitu msichokijua wasafi wanatumiwa na manara kupitia diamond kuichafu Simba kwa hali yoyote ile.
Au labda utamaduni wetu unapenda Sana "wasema ovyo" kama ndo wanavuta watazamaji??

Huoni mpira wote umejaa wasema ovyo kama ndo ma star?..

Haji Manara
Jerry Muro
Yule msemaji wa Ruvu..
Jamhuri ..
Mbwiga?..

Hadi kina Mwijaku wakaomba nafasi za usemaji...huoni kuwa ni jamii Tu inawapa nafasi kubwa Sana wasema ovyo?ukijaribu kuwapiga vita jamii haikuelewi?Leo Barbara keshapotea ,Haji bado anatamba...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…