mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,307
- 12,410
YeahKikosi hiki.View attachment 1567465
Kikosi hiki.View attachment 1567465
Kila la Heri mnyama. Nawatakia ushindi wa Goli 5:0
Mtibwa ya msimu uliopita na hii ya mwaka huu bado ni urojo tu. Morson na Konde boy watateleza tu kwenye mashamba ya miwa.Aha ha
5 ..labda timu nyingine
Mtibwa leo anaondoa UTEJA
Mtibwa ya msimu uliopita na hii ya mwaka huu bado ni urojo tu. Morson na Konde boy watateleza tu kwenye mashamba ya miwa.
Boss watechaza wote sasaHivi haws wachezaji wa Kigeni mbona hatuwaoni uwanjani?
Au Walisajiriwa ili wakae benchi, hao akina Mugalu.
Nataka nimwone huyo namba tisa Mugalu. Maana naona anazurula tu. Namba tisa wa kimataifa anaishia benchi..!Boss watechaza wote sasa
Yule dogo white wenu vipi🤔?Nataka nimwone huyo namba tisa Mugalu. Maana naona anazurula tu. Namba tisa wa kimataifa anaishia benchi..!