Che mittoga
JF-Expert Member
- Mar 28, 2017
- 12,658
- 16,205
Unaruhusiwa kuweka first eleven wageni 6 kuanza?Ngoja nimpangie first eleven kocha Kishingo.
1. Manula
2. Kapombe
3. Shabalala
4. Mzee Wawa
5. Babu Unyango
6. Mkude
7. Morrison / Miquisone
8. Fraga
9. John boko /Mugalu sijamfahamu
10. Chama
11. Kahata
Morrison na Miqueson hawatakiwi kuanza kucheza pamoja, wote hawana nguvu. Dilunga aanze ktk viwanja vya mkoani, kama jana na Mtibwa angeanza Dilunga.
Kwako kocha msaidizi Matola.
Sheria inasemajeUnaruhusiwa kuweka first eleven wageni 6 kuanza?
Leta ushahidi siyo unakata mauno hapa vidole juuMipango ilifeli kwa sababu mliwapa kina Mzee Morrison dola elfu 5. Macho makavu kabisa huna ujanja Wa kunifelisha wewe na wazee wako hawa
Hii comment yako usave ili mkianza mechi za mikoani usituletee malalamiko ya viwanjaZaidi ya 80% ya viwanja vyetu viko hivyo na wachezaji wetu wametoka huko! Kwa hiyo mkishindwa kupata matokeo myatakao msisingizie viwanja! Pale Jamhuri msimu uliopita mlimchapa Mtibwa, uwanja ulikuwaje?
Mbona kagere umemwacha kabisaNgoja nimpangie first eleven kocha Kishingo.
1. Manula
2. Kapombe
3. Shabalala
4. Mzee Wawa
5. Babu Unyango
6. Mkude
7. Morrison / Miquisone
8. Fraga
9. John boko /Mugalu sijamfahamu
10. Chama
11. Kahata
Morrison na Miqueson hawatakiwi kuanza kucheza pamoja, wote hawana nguvu. Dilunga aanze ktk viwanja vya mkoani, kama jana na Mtibwa angeanza Dilunga.
Kwako kocha msaidizi Matola.
Na msimu uliopita offside ziliwabeba sanaHapa ni kuomba refa atusaidie goli la offside au atupe penalty vinginevyo hakuna ushindi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Baada ya kumchukua Morisson mje mumchukue na Kaseke
Na Zanzibar ndugu ha ha haTuliposema hatutoi kibali cha Morrison nadhani hamkuelewa. Sisi tumeshikilia kibali chetu cha Sumbawanga, Tanga na Bagamoyo... Nyie mbaki na kibali chenu feki mlichopewa na TifuaTifua(TFF) muone kama huyo Nguchiro atacheza msimu huu.... HATUTOI KIBALI CHA MORRISON KUCHEZA . Mashitaka yetu yalishafika makao makuu ya FIFA kule Sumbawanga. Pia tumeshitaki mahakama za CAS kule Bagamoyo
Nenda YouTube umsikie mwenyeweee Mzee Morrison akielezea nadhani utakuwa ni ushahidi mzuri kuliko hizi porojo zangu hapa au Mtibwason wamekukerason huko moroson?Leta ushahidi siyo unakata mauno hapa vidole juu
Duka hilo! Hapo kama upo Corner Bar.Hapa naona Mzee Morrison alicheza na jukwaa mana ndio Michezo yake!
[emoji16][emoji16]Duka hilo! Hapo kama upo Corner Bar.
Kagere ni sub yaMbona kagere umemwacha kabisa
Nyie mikia niliwaambia jana mnatoa sare hamkusikia, sasa msikose leo saa 1 usiku uone Mbeya city anavofariki.Nyie mikia leo mnatoa sare
Wamesahau msimu uliopita walianza mechi nyingi nyumbani walipotoka nje wakaanza kwenda nje na kupoteza ndio wakajua viwanja vibovu tuwasubiri na wao wakitoka njeHii comment yako usave ili mkianza mechi za mikoani usituletee malalamiko ya viwanja
Hao hao mbeya city wanaocheza nao kwenye mrudiano kazi wanayoWamesahau msimu uliopita walianza mechi nyingi nyumbani walipotoka nje wakaanza kwenda nje na kupoteza ndio wakajua viwanja vibovu tuwasubiri na wao wakitoka nje
Sijui watakuja na sababu gani wakitoa draw ila watabaki kubweka kama mbwa maana ndio zaoHao hao mbeya city wanaocheza nao kwenye mrudiano kazi wanayo
Msimu huu naona marefa wameamua kutenda haki,mikia mtajutaSijui watakuja na sababu gani wakitoa draw ila watabaki kubweka kama mbwa maana ndio zao