isajorsergio
Platinum Member
- Apr 22, 2018
- 4,143
- 6,560
- Thread starter
-
- #41
HakikaShukran mkuu kwa uzi bora
Ni matumain yangu kama taifa siku moja tutafika huko
SandiegoSantiago
HahahahaSandiego
🙏Shukran mkuu
Asante 🙏Safi sana mkuu, i love chile after Argentina.
Siku nyingine uikumbuke nchi yenye malijendary wa soka, mafundi wa kuuchezea mpira wa miguu ARGENTINA 🇦🇷🇦🇷🇦🇷🇦🇷🇦🇷🇦🇷🇦🇷♥♥♥♥♥
Ubaguzi upo dunia nzima inategemea ni ubaguzi wa aina gani na namna unavyochukuliwa.Kumbe America kusini ni kuzuri ivyo ..awana ubaguzi hao watu?
Kumbe America kusini ni kuzuri ivyo ..awana ubaguzi hao watu?