Jamhuri ya Twitter: Kila mtu ni mkosoaji na mjuaji wa kiwango kikubwa

Jamhuri ya Twitter: Kila mtu ni mkosoaji na mjuaji wa kiwango kikubwa

chizcom

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
8,680
Reaction score
18,035
Kila mitandao ya kijamii kuna jamhuri zake.mfano ukija instagram ni fake life na kila picha za mastaa utaona simu kageuza ili mradi ufahamu kuwa hana macho matatu aka iphone na umbeya.

Sasa jamhuri ya twitter !

Kila mtu msomi na mwenye IQ ya juu kuliko hata wale wanaotajwa duniani.

Kila mtu ni mkosoaji na mjuaji wa kiwango kikubwa utazani sio binadamu asiye na mapungufu.

Kila mtu ni high classic kuanzia kujiona,kushauri,kujua na n.k

Kila mtu ni mwanasiasa na mwanaharakati

Serikali yetu ni bora ukosea kutumia instagram serikali kuliko kukosoa kutumia twitter ,watakushugulikia.

Watu wa twitter wakijibiwa ukweli au kukoselewa kinacho fata ni block.

Vyama pinzani na wanaharakati wapo wengi kuliko ccm

Viongozi wengi na idara nyingi zipo humu

Dada zetu wamejaribu kujiweka labda wataopoa lakini ni pagumu kuliko mitandao mengine

Nawasilimu kwa jamhuri ya twitter
 
kila mitandao ya kijamii kuna jamhuri zake.mfano ukija instagram ni fake life na kila picha za mastaa utaona simu kageuza ili mradi ufahamu kuwa hana macho matatu aka iphone na umbeya.

sasa jamhuri ya twitter !

*kila mtu msomi na mwenye IQ ya juu kuliko hata wale wanaotajwa duniani.
*kila mtu ni mkosoaji na mjuaji wa kiwango kikubwa utazani sio binadamu asiye na mapungufu.
*kila mtu ni high classic kuanzia kujiona,kushauri,kujua na n.k
*kila mtu ni mwanasiasa na mwanaharakati
*serikali yetu ni bora ukosea kutumia instagram serikali kuliko kukosoa kutumia twitter ,watakushugulikia.
*watu wa twitter wakijibiwa ukweli au kukoselewa kinacho fata ni block.
*vyama pinzani na wanaharakati wapo wengi kuliko ccm
*viongozi wengi na idara nyingi zipo humu
*dada zetu wamejaribu kujiweka labda wataopoa lakini ni pagumu kuliko mitandao mengine


nawasilimu kwa jamhuri ya twitter
Chadema wameiweka Tweeter mfukoni

Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom