Jamhuri ya watu wa Yemen

Jamhuri ya watu wa Yemen

BAKIIF Islamic

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2021
Posts
600
Reaction score
1,843
Yemen_on_the_globe_(Yemen_centered).svg.png
Jamhuri ya Yemen iko Kusini na Kusini Magharibi ya peninsula ya Arabia

Ina idadi ya watu ya milioni kumi na moja na eneo la maili mraba 190,000. Ndio eneo pekee la peninsula hii linalopata mvua za monsuni, na kuifanya sehemu yenye rutba sana na yenye watu wengi.

yemen-hodeidah_map.png

Mlima mrefu sana wa Arabia, uitwao an-Nabi Shu’aib, uko Yemen na unafikia urefu wa futi 12,350.

288px-Haraz_200612_Yemen-117_(353667919).jpg

Sana’a ndio makao makuu na mji mkubwa zaidi katika nchi hii. Upo katika muinuko wa futi 7200, na unafahamika kwa hali yake ya hewa ya kiafya nzuri.

1a60406a787ff578c9b500fd637da08e.jpg

Aden ndio mji mkuu wa kibiashara. Al-Mocha, Al-Huhaydah, Ta’izz na Mukalla ni miji mingine mikuu. Sayun na Shibam ni miji ambayo ni maarufu kwa magorofa yake marefu.

Sultan_Al_Kathiri_Palace_Seiyun_Yemen.jpg
 
Naomba kujuzwa lengo ni nini hasa kuweka bendera ya uarabuni kwenye bara la afrika
 
Naomba kujuzwa lengo ni nini hasa kuweka bendera ya uarabuni kwenye bara la afrika
Ni bendera inawakilisha madhehebu ya Kiislamu au utaratibu wa kidini, kulingana na mila za kiisilamu, hakuna kingine. Ni uwakilishi tu ndugu yangu
 
Ni bendera inawakilisha madhehebu ya Kiislamu au utaratibu wa kidini, kulingana na mila za kiisilamu, hakuna kingine. Ni uwakilishi tu ndugu yangu
Ok ahsante kwa ufafanuzi Nilikua najua ni bendera ya UAe/saudia.
 
Ok ahsante kwa ufafanuzi Nilikua najua ni bendera ya UAe/saudia.
Hapana, bendera ya saudia ina maneno matukufu lakini pia ina alama ya upanga chini yake, ila hii ni nyota na mwezi tu, kama nembo mbalimbali zinazo wekwaga kwenye misikitini.
 
Jamhuri ya Yemen iko Kusini na Kusini Magharibi ya peninsula ya Arabia

Ina idadi ya watu ya milioni kumi na moja na eneo la maili mraba 190,000. Ndio eneo pekee la peninsula hii linalopata mvua za monsuni, na kuifanya sehemu yenye rutba sana na yenye watu wengi.


Mlima mrefu sana wa Arabia, uitwao an-Nabi Shu’aib, uko Yemen na unafikia urefu wa futi 12,350.


Sana’a ndio makao makuu na mji mkubwa zaidi katika nchi hii. Upo katika muinuko wa futi 7200, na unafahamika kwa hali yake ya hewa ya kiafya nzuri.


Aden ndio mji mkuu wa kibiashara. Al-Mocha, Al-Huhaydah, Ta’izz na Mukalla ni miji mingine mikuu. Sayun na Shibam ni miji ambayo ni maarufu kwa magorofa yake marefu.

Ni miongoni mwa nchi chache za kiarab zenye hali ya hewa nzuri baadhi ya miji

Ni nchi ambayo kuna baadhi ya maeneo ni mazuri kulima kama huku kwetu
images - 2021-11-20T091340.843.jpg
 
Yemen ni nchi nzuri ila mnawanyanyasa sana wafanyakazi kutoka Africa
 
Back
Top Bottom