Jamii forum kunyamazishwa?

Status
Not open for further replies.

Mawazo mazuri mkuu,

Moto wa JF unaunguza kila kila kitu na unatoa mwanga kwa kila asiyeona! Ni familia mtambuka (cross-cutting). Hatutakiwi kujibana kwenye pembe moja na kuta nyembamba. Ila kwa sababu ya matukio ya nyakati hizi tunaweza kukubaliana kwa wingi wetu kuwa kuna mambo ya kipaumbele. Na muhimu ni ukombozi wa nchi yetu. Simply to overhaul this system which has come to a complete halt after cruising for about half a century. After that, other priorities will obviously emerge and JF will have to take lead too! It's just an immortal family (Alpha and Omega).
 

I loved those words, kwa hiyo una maana kunyamazishwa JF mpaka kiama kije??

waberoya
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…