Jamii forum, maoni dira ya Taifa, 2025-2050.

Crocodiletooth

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2012
Posts
20,561
Reaction score
24,428
-Maoni yangu binafsi ni umri wa kustaafu uwe miaka 50, kupisha chipukizi.
-Iwe mwiko mtu kushika nafasi za kiuongozi zaidi ya moja.
-Baada mtu kustaafu awe anapatiwa eneo la ekari 2, kama sehemu za benefit zake.
-Uchumi wa viwanda upewe uzito
-Utaalamu wa maswala ya electronic, ujuzi wake kwa kina pamoja na A. I, Uzidishwe na vyuo vijengwe!
-Nishati itiliwe mkazo inakadiriwa 2050 idadi ya watanzania itakuwa mara mbili ya wakati huu.
>Tuendelee..........
 
Dira kwenye shithole kantri inayogawa hovyo rasilimali zake ambazo mola ameipatia! Hiyo dira inaenda kutekelezwa na nn
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…