Mtuache
JF-Expert Member
- Mar 12, 2021
- 256
- 658
Nimefungua uzi huu mahususi kabisa kutokana na uchovu unaotupata kwenye mida flani hivi makazini. Mara nyingi ikiwa bado masaa mawili au moja kutoka.
Kama na wewe ni mmojawapo naomba tuungane pamoja hapa kwa kuandika ulipo na unafanya nini kuondoa uchovu
Muda wa jukwaa ni 24/7
Mimi hapa nikianza kusikia uchovu huwa naenda hadi kuoga. Humo humo ofisini naingia zangu washroom napiga maji naendelea na mapambano
Kama na wewe ni mmojawapo naomba tuungane pamoja hapa kwa kuandika ulipo na unafanya nini kuondoa uchovu
Muda wa jukwaa ni 24/7
Mimi hapa nikianza kusikia uchovu huwa naenda hadi kuoga. Humo humo ofisini naingia zangu washroom napiga maji naendelea na mapambano