Habari,
Je, hii ni sawa kwamba Baba Yako ameuza mchicha na kuni na wewe graduate uuze maji na kuni? Moja ya changamoto ya jamii nyingi zinapelekea vijana wengi kuwa na msongo Kwa sababu Kila anachofanya msomi unasikia, eti mtu ana degree anauza mchicha? Mtu ana degree anafanya hivi? Guys? Acheni hii tabia!
Katika upande wa pili wa shilingi Kuna familia Moja kwenye kitabu Cha RICH DAD AND POOR DAD, imenivutia sana kuitafakari;
Story Iko ivi ,Kuna familia Moja ROBERT KIYOSAKI ANAISIMULIA, kwamba kulikuwa na baba wa familia hiyo ambae alikuwa anauza maji, basi Kwa kupitia maji kasomesha watoto hadi vyuo , ila watoto walipokuwa wanakuja likizo aliwahimiza kwamba wasombe maji ya kuuza Kwa sababu yeye umri unaenda badae huo mradi utakuwa wao.
- Watoto walionekana kutokufurahishwa na mradi wa baba Yao wa kusomba maji Kwa kichwa kuisambazia jamii kama biashara, Mzee alisisitiza sana wajitume wasije kuuwa mradi.
Basi siku Moja Kijiji kikatoa zabuni Kwa atakae weza kusambaza maji kijijini, Basi Mzee nae aliomba hiyo nafasi akidai kwamba ataweka sehemu tank halafu atasomba yeye na familia yake isipokuwa wikendi na watu watachota, kulingana na yeye ni mzoefu wa kazi, wanakijiji hawaamini kama Kuna njia mmbadala walipiga makofi.
- Badae kijana msomi akapewa nafasi na yeye akasema ,yeye ameandaa business plan amepata wadhamini atasambaza mabomba ya maji Kwa Kila familia na Kila mtu atapata maji masaa 24 Kwa ghalama ndogo kuliko mzee, watu wakasema hii ndo Bora zaidi.
Turudi kwenye swali je jamii inataka kijana msomi aje na mbinu mpya ya biashara kuliko walizozizoea? Kama ni ndiyo mashirika ya watu binafsi, serikali dhaminini hawa vijana.
Je, hii ni sawa kwamba Baba Yako ameuza mchicha na kuni na wewe graduate uuze maji na kuni? Moja ya changamoto ya jamii nyingi zinapelekea vijana wengi kuwa na msongo Kwa sababu Kila anachofanya msomi unasikia, eti mtu ana degree anauza mchicha? Mtu ana degree anafanya hivi? Guys? Acheni hii tabia!
Katika upande wa pili wa shilingi Kuna familia Moja kwenye kitabu Cha RICH DAD AND POOR DAD, imenivutia sana kuitafakari;
Story Iko ivi ,Kuna familia Moja ROBERT KIYOSAKI ANAISIMULIA, kwamba kulikuwa na baba wa familia hiyo ambae alikuwa anauza maji, basi Kwa kupitia maji kasomesha watoto hadi vyuo , ila watoto walipokuwa wanakuja likizo aliwahimiza kwamba wasombe maji ya kuuza Kwa sababu yeye umri unaenda badae huo mradi utakuwa wao.
- Watoto walionekana kutokufurahishwa na mradi wa baba Yao wa kusomba maji Kwa kichwa kuisambazia jamii kama biashara, Mzee alisisitiza sana wajitume wasije kuuwa mradi.
Basi siku Moja Kijiji kikatoa zabuni Kwa atakae weza kusambaza maji kijijini, Basi Mzee nae aliomba hiyo nafasi akidai kwamba ataweka sehemu tank halafu atasomba yeye na familia yake isipokuwa wikendi na watu watachota, kulingana na yeye ni mzoefu wa kazi, wanakijiji hawaamini kama Kuna njia mmbadala walipiga makofi.
- Badae kijana msomi akapewa nafasi na yeye akasema ,yeye ameandaa business plan amepata wadhamini atasambaza mabomba ya maji Kwa Kila familia na Kila mtu atapata maji masaa 24 Kwa ghalama ndogo kuliko mzee, watu wakasema hii ndo Bora zaidi.
Turudi kwenye swali je jamii inataka kijana msomi aje na mbinu mpya ya biashara kuliko walizozizoea? Kama ni ndiyo mashirika ya watu binafsi, serikali dhaminini hawa vijana.