Mganguzi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2022
- 1,604
- 3,715
Nimetembelea wagonjwa mbalimbali wanaoteseka na mivunjiko ya mifupa na kukutana na changamoto ya mfupa kushindwa kuunga au kuvunjika mara kwa mara hata bila kupata ajali yoyote !
Najua pia umekutana na watu mbalimbali wanaosubili kukatwa miguu kwa matokeo ya kupata kansa ya mifupa ! Tatizo hili hutokana na shambulio la bacteria kwenye mfupa !( Bone inflammable infection) Bacteria Hawa huondoa leya ya juu ya mfupa na kuanza kuupekesha !
Hivyo mtu akiwa na hii infection ni rahisi kupata mivunjiko mara kwa mara na hata akiwekewa chuma (antenna )Bado hawezi kupona kwa sababu wadudu wanakuwa tayari wapo ndani ya mfupa ! Mfupa ukishambuliwa na bacteria mwishowe husababisha kansa kamili ya mifupa !
Kansa ya mfupa matibabu yake ni kuuondoa mguu uliopata hayo maambukizi .! Ukiona mtu amevunjika lakini mfupa umegoma kabisa kuunga basi jua kwamba mfupa unabacteria !
Zipo dawa mbalimbali za kuondoa bacteria kwenye mifupa iliyoathirika hivyo ukiwa na mgonjwa na anateseka kwa muda mrefu jaribu kipimo Cha Crp na utajua wingi wa bacteria kwenye eneo husika
Najua pia umekutana na watu mbalimbali wanaosubili kukatwa miguu kwa matokeo ya kupata kansa ya mifupa ! Tatizo hili hutokana na shambulio la bacteria kwenye mfupa !( Bone inflammable infection) Bacteria Hawa huondoa leya ya juu ya mfupa na kuanza kuupekesha !
Hivyo mtu akiwa na hii infection ni rahisi kupata mivunjiko mara kwa mara na hata akiwekewa chuma (antenna )Bado hawezi kupona kwa sababu wadudu wanakuwa tayari wapo ndani ya mfupa ! Mfupa ukishambuliwa na bacteria mwishowe husababisha kansa kamili ya mifupa !
Kansa ya mfupa matibabu yake ni kuuondoa mguu uliopata hayo maambukizi .! Ukiona mtu amevunjika lakini mfupa umegoma kabisa kuunga basi jua kwamba mfupa unabacteria !
Zipo dawa mbalimbali za kuondoa bacteria kwenye mifupa iliyoathirika hivyo ukiwa na mgonjwa na anateseka kwa muda mrefu jaribu kipimo Cha Crp na utajua wingi wa bacteria kwenye eneo husika