Jamii Social Club-Uchaguzi wa Viongozi

Jamii Social Club-Uchaguzi wa Viongozi

Safari_ni_Safari

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2007
Posts
23,265
Reaction score
17,120
Leo tutakuwa na uchaguzi wa viongozi wa Club hapa kiotani:

Mr_Conga_Granite_bar_counter.jpg
 
Hamtaki vyeo?

  1. Mwenyekiti
  2. Makamu mwenyekiti
  3. Katibu
  4. Mhazini(mimi mwenyewe)
  5. Wajumbe 6 wa kamati kuu
 
Mkuu,, utaratibu uliotumika kumpata Mhazini utumike kuwapata hao wengine wote..

Napendekeza
 
We acha tu, kwanza club ya nini? wengine hatutaki CLUB tunataka BAR, na kunawengine watatka KANISA na MSIKITI!
 
Back
Top Bottom