Apollo one spaceship
JF-Expert Member
- Jan 28, 2021
- 245
- 457
Kijana wa kidijitali anaamka asubuhi na mapema.
Badala ya sala,kijana huyu anachukua simu yake na kuwasha data.
Hapa ndipo ratiba ya kijana huyu inapoanza.
[emoji3578]Anaingia Instagram.
Hapa anatumia masaa kadhaa kuangalia umbea wa siku hiyo.Atajiposti,atalike,atadislike,atafollow,atatafuta followers, atacomment matusi,atascroll hata kama hana lengo maalum ilimuradi tu anapekua.
[emoji3578] Baada ya insta ataingia WhatsApp
Hapa atatumia masaa kadhaa kuangalia status.Kisha ataingia kwenye magrupu ya ngono,mipira,urembo na mengine ya ajabu.Huku atasoma sms,atadownload video,picha nk.Kisha ataangalia sms alizotumiwa na marafiki,wapenzi wake.Hapa itamchukua masaa mengi tu.
[emoji3578]Kisha ataingia Facebook.
Huku atascroll,ataangalia posts za watu,atapost,atalike,atashare, atafollow,atacomment matusi.Kisha ataenda messenger kuangalia sms za mapenzi.Hii itaconsume time ya kutosha tu.Ataingia kwenye magrupu and so on and so forth.
[emoji3578]Kisha ataingia Twitter.
Huku atatamani stori za kina kigogo,kina Tundu Lissu,nk.Atascroll,atafuatilia vichekesho na upuuzi wa kina madenge, atascroll,atatamani kila taarifa isimpite,atatafuta followers, atafollow nk.
[emoji3578]Then Anaingia Jamii Forum
Huku kuna nyuzi za maana kama uchumi,sheria lakini kijana huyu atatumia masaa mengi kwenye kuangalia makalio kwenye nyuzi za warembo worldwide,atasimulia uzinzi na uasherati wake kwenye uzi wa kula kimasihara.Atazidi kuonesha ulimbukeni kwa kucomment matusi kwenye nyuzi za maana.
[emoji3578]Paap!!! Ataingia app ya photos kucheki picha zake za zamani,za warembo,ma-ex wake.atacheki short videos,atashare picha hizo fb,tssap,insta,twitter nk.That is time.
[emoji3578]Mbiooo ataenda telegram.
Huku ataangalia chats,atachek magrupu ya ngono,na vitu vingine vya kipuuzi.
[emoji3578]Kisha Tiktok.Atascroll,atachek picha za kijinga,video za hovyo,umbea, vichekesho vya hovyohovyo nk
[emoji3578] Huyooooooo Snapchat,atabinua makalio,atajifilter.Atarembua macho ya uzinzi,aisee!!!!!!
[emoji3578]Paap ataenda app ya normal message kucheki miamala ya kutuma na ya kutolea,atacheki sms za wenye vinokia tochi, Waganga wa kienyeji nk.
[emoji3578] Ataenda Camera app kupiga picha makalio na six pack zake.Aisee!!!!!
[emoji3578]Kisha ataenda sofascore,fotmob,goal-live then betpawa, sportpesa,betika, sportybet,mbet nk.Atatumia masaa mengi kuanaalyse kutupoa mikeka.
[emoji3578] Anaingia YouTube.
Huku atacheki video kwa masaa mengi.Atafollow,ata-upload,ata like,dislike nk
[emoji3578]Then ataenda Gmail kuangalia new email and spams.Atabonyeza vilink kadhaa nk.
[emoji3578]Then ataenda calls and contacts.Atapiga simu na kuongea umbea dkk au masaa.
[emoji3578]Bado hajaenda onlyfans, LinkedIn, Google,chrome,settings, notification bar ambazo zinaconsume muda mwingi tu
[emoji3578]Bado kijana anawaza mapenzi,anawaza utajiri,anawaza ma-ex,sehemu za starehe Kama beach, bar,kucheki mechi.
[emoji3578]Halafu kijana huyu atalalamika uhaba wa ajira,ataombaomba wazazi ilhali ashakua
EWE KIJANA
[emoji120]If you don't stand for something, you will fall for everything.Huwezi ukajua vitu vyote duniani kwa siku moja,kubali Mambo mengine yakupite tu hasa umbea.Kuwa na msimamo kwa kuwa na kiasi kwenye matumizi ya mitandao ya kijamii.Kwenye maisha halisi ni sawa na kufanya kazi kupitiliza au kufanya kazi tofauti tofauti kwa papara na kwa muda mmoja bila lengo maalum
Hii inakula nguvu zako tu bila kutimiza chochote cha maana.
Application au software nyingi za simu au tarakilishi zinakudanganya kwa kuwa hauvuji jasho ukiwa unazitumia lakini zinaconsume plenty of time bila kunotice.
#Remember to be productive in social network NOT BUSY.
NB:Jinsi ya kuwa productive kwenye mitandao ya kijamii.
*Jifunze blogging, jifunze freelance,uza bidhaa online,fanya manunuzi, fuatilia taarifa za kiuchumi,masoko,soma educational documents.
Tuwe na kiasi kwenye mambo yote.
#Asanteni sana#
Badala ya sala,kijana huyu anachukua simu yake na kuwasha data.
Hapa ndipo ratiba ya kijana huyu inapoanza.
[emoji3578]Anaingia Instagram.
Hapa anatumia masaa kadhaa kuangalia umbea wa siku hiyo.Atajiposti,atalike,atadislike,atafollow,atatafuta followers, atacomment matusi,atascroll hata kama hana lengo maalum ilimuradi tu anapekua.
[emoji3578] Baada ya insta ataingia WhatsApp
Hapa atatumia masaa kadhaa kuangalia status.Kisha ataingia kwenye magrupu ya ngono,mipira,urembo na mengine ya ajabu.Huku atasoma sms,atadownload video,picha nk.Kisha ataangalia sms alizotumiwa na marafiki,wapenzi wake.Hapa itamchukua masaa mengi tu.
[emoji3578]Kisha ataingia Facebook.
Huku atascroll,ataangalia posts za watu,atapost,atalike,atashare, atafollow,atacomment matusi.Kisha ataenda messenger kuangalia sms za mapenzi.Hii itaconsume time ya kutosha tu.Ataingia kwenye magrupu and so on and so forth.
[emoji3578]Kisha ataingia Twitter.
Huku atatamani stori za kina kigogo,kina Tundu Lissu,nk.Atascroll,atafuatilia vichekesho na upuuzi wa kina madenge, atascroll,atatamani kila taarifa isimpite,atatafuta followers, atafollow nk.
[emoji3578]Then Anaingia Jamii Forum
Huku kuna nyuzi za maana kama uchumi,sheria lakini kijana huyu atatumia masaa mengi kwenye kuangalia makalio kwenye nyuzi za warembo worldwide,atasimulia uzinzi na uasherati wake kwenye uzi wa kula kimasihara.Atazidi kuonesha ulimbukeni kwa kucomment matusi kwenye nyuzi za maana.
[emoji3578]Paap!!! Ataingia app ya photos kucheki picha zake za zamani,za warembo,ma-ex wake.atacheki short videos,atashare picha hizo fb,tssap,insta,twitter nk.That is time.
[emoji3578]Mbiooo ataenda telegram.
Huku ataangalia chats,atachek magrupu ya ngono,na vitu vingine vya kipuuzi.
[emoji3578]Kisha Tiktok.Atascroll,atachek picha za kijinga,video za hovyo,umbea, vichekesho vya hovyohovyo nk
[emoji3578] Huyooooooo Snapchat,atabinua makalio,atajifilter.Atarembua macho ya uzinzi,aisee!!!!!!
[emoji3578]Paap ataenda app ya normal message kucheki miamala ya kutuma na ya kutolea,atacheki sms za wenye vinokia tochi, Waganga wa kienyeji nk.
[emoji3578] Ataenda Camera app kupiga picha makalio na six pack zake.Aisee!!!!!
[emoji3578]Kisha ataenda sofascore,fotmob,goal-live then betpawa, sportpesa,betika, sportybet,mbet nk.Atatumia masaa mengi kuanaalyse kutupoa mikeka.
[emoji3578] Anaingia YouTube.
Huku atacheki video kwa masaa mengi.Atafollow,ata-upload,ata like,dislike nk
[emoji3578]Then ataenda Gmail kuangalia new email and spams.Atabonyeza vilink kadhaa nk.
[emoji3578]Then ataenda calls and contacts.Atapiga simu na kuongea umbea dkk au masaa.
[emoji3578]Bado hajaenda onlyfans, LinkedIn, Google,chrome,settings, notification bar ambazo zinaconsume muda mwingi tu
[emoji3578]Bado kijana anawaza mapenzi,anawaza utajiri,anawaza ma-ex,sehemu za starehe Kama beach, bar,kucheki mechi.
[emoji3578]Halafu kijana huyu atalalamika uhaba wa ajira,ataombaomba wazazi ilhali ashakua
EWE KIJANA
[emoji120]If you don't stand for something, you will fall for everything.Huwezi ukajua vitu vyote duniani kwa siku moja,kubali Mambo mengine yakupite tu hasa umbea.Kuwa na msimamo kwa kuwa na kiasi kwenye matumizi ya mitandao ya kijamii.Kwenye maisha halisi ni sawa na kufanya kazi kupitiliza au kufanya kazi tofauti tofauti kwa papara na kwa muda mmoja bila lengo maalum
Hii inakula nguvu zako tu bila kutimiza chochote cha maana.
Application au software nyingi za simu au tarakilishi zinakudanganya kwa kuwa hauvuji jasho ukiwa unazitumia lakini zinaconsume plenty of time bila kunotice.
#Remember to be productive in social network NOT BUSY.
NB:Jinsi ya kuwa productive kwenye mitandao ya kijamii.
*Jifunze blogging, jifunze freelance,uza bidhaa online,fanya manunuzi, fuatilia taarifa za kiuchumi,masoko,soma educational documents.
Tuwe na kiasi kwenye mambo yote.
#Asanteni sana#
Upvote
3