Jamii ya wapemba yatambulika rasmi nchini Kenya kama Raia

econonist

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
20,189
Reaction score
29,663
Leo tarehe 15/11/2024 jamii ya wapemba imetambulika rasmi Kama raia na wamepewa vitambulisho vya Taifa la Kenya. Hivyo wapemba wote wanaoishi kwenye Kaunti ya Kwale, Lamu, Kilifi na Mombasa watakuwa na haki sawa Kama wake ya wengine Kama kumiliki Ardhi.

Hongera Serikali ya Kenya kwa kuwatambua wapemba.
 
Mimi ni mtumishi wa umma ni mwalimu naomba kuhamia pemba kutoka bara au hata unguja niliwahi kumtembelea huko nilipapenda sana
 
Mimi ni mtumishi wa umma ni mwalimu naomba kuhamia pemba kutoka bara au hata unguja niliwahi kumtembelea huko nilipapenda sana

Unaruhusiwa kuhamia huko maana ni sehemu ya Muungano
 
Sasa ni mwendo wao kufyatua tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…