Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Ni zile jamii za Wafugaji wa kuhama hama. Hawana makazi maalumu.
Leo wako mbeya kwesho wako Tanga.
Natoa wito kwa serikali, japo kila mtu ana haki ya kulinda, kutumza na kuishi kwa mujibu wa mila, desturi na utamaduni wake bado hatuwezi kuvumilia ikiwa mila hizo zinavunja heshima, utu, haki za watu wengine.
Katika baadhi jamii za wafugaji wa kuhama hama yaani Pastralists, hali ni mbaya sana.
Kutokana wao wameshazoea maisha hayo baadhi wanaona ni haki yak kuishi ktk giza na gereza la mateso yanayotokana na mila hizo mbovu zisizofaa.
Baadhi ya madhila yanayozikabiri jamii hizi ni kama vile
1. Watoto wadogo wa kike kati ya umri 10 hadi 14 kuozeshwa kwa wanaume wakubwa au wazee., Mimba za utotoni ni nyingi
2. Watoto kukosa fursa ya masomo
3. Vipigo na adhabu kali zinazotolewa dhidi ya wanawake na watoto kutoka kwa Viongozi wa familia hasa Wababa.
4. Hali duni ya maisha ya kukosa nyumba bora kwa ajili ya watoto na Familia kwa ujumla.
5. Watoto na wanawake kukosa fursa ya kupata huduma bora za kijamii kama bile Matibabu, USafiri, maji, umeme n.k
6. Vitendo vya kuharibu au kudhuri sehemu mbali mbali za mwili kwa wanawake hasa Ukeketaji, Kutoboa masikio tundu Pana, kuchora chora alama usoni na mahala pengine.
7. Mjane kurithiwa na Ndugu wa Mume, hii ni lazima hata kama hupendi.
8. Wanaume kuoa wanasake wengi bila kuwa na uwezo wa kuwahudumia na matatizo ya hapo jui hujitokeza zaidi
9. Wanawake kufanyishwa kazi za nguvu bila kupumzishwa.
Kutokana na uelewa mdogo wa maisha ktk nyanja mbali mbali Giza hili la unyanyasaji limeshakuwa sehemu ya maisha yao na wao huona kama hakuna tatizo.
hali hii inarudisha nyuma Jithada za serikali kuhakikisha kila mtanzania anaishi maisha bora, yenye kuheshimu utu, amani na maendeleo.
Salut! Bonne Soir. À Bientoť
Leo wako mbeya kwesho wako Tanga.
Natoa wito kwa serikali, japo kila mtu ana haki ya kulinda, kutumza na kuishi kwa mujibu wa mila, desturi na utamaduni wake bado hatuwezi kuvumilia ikiwa mila hizo zinavunja heshima, utu, haki za watu wengine.
Katika baadhi jamii za wafugaji wa kuhama hama yaani Pastralists, hali ni mbaya sana.
Kutokana wao wameshazoea maisha hayo baadhi wanaona ni haki yak kuishi ktk giza na gereza la mateso yanayotokana na mila hizo mbovu zisizofaa.
Baadhi ya madhila yanayozikabiri jamii hizi ni kama vile
1. Watoto wadogo wa kike kati ya umri 10 hadi 14 kuozeshwa kwa wanaume wakubwa au wazee., Mimba za utotoni ni nyingi
2. Watoto kukosa fursa ya masomo
3. Vipigo na adhabu kali zinazotolewa dhidi ya wanawake na watoto kutoka kwa Viongozi wa familia hasa Wababa.
4. Hali duni ya maisha ya kukosa nyumba bora kwa ajili ya watoto na Familia kwa ujumla.
5. Watoto na wanawake kukosa fursa ya kupata huduma bora za kijamii kama bile Matibabu, USafiri, maji, umeme n.k
6. Vitendo vya kuharibu au kudhuri sehemu mbali mbali za mwili kwa wanawake hasa Ukeketaji, Kutoboa masikio tundu Pana, kuchora chora alama usoni na mahala pengine.
7. Mjane kurithiwa na Ndugu wa Mume, hii ni lazima hata kama hupendi.
8. Wanaume kuoa wanasake wengi bila kuwa na uwezo wa kuwahudumia na matatizo ya hapo jui hujitokeza zaidi
9. Wanawake kufanyishwa kazi za nguvu bila kupumzishwa.
Kutokana na uelewa mdogo wa maisha ktk nyanja mbali mbali Giza hili la unyanyasaji limeshakuwa sehemu ya maisha yao na wao huona kama hakuna tatizo.
hali hii inarudisha nyuma Jithada za serikali kuhakikisha kila mtanzania anaishi maisha bora, yenye kuheshimu utu, amani na maendeleo.
Salut! Bonne Soir. À Bientoť