Jamiiforum ilinipatia kazi na huyu naye anataka

Prisila

Member
Joined
Feb 5, 2011
Posts
28
Reaction score
7
Anatafuta kaz ni mdada ana miaka 22 namba ya cm hii. 0758991110.
 
Anatafuta kaz ni mdada ana miaka 22 namba ya cm hii. 0758991110.
Anatafuta kazi gani? ungeweza kuweka maelezo ya kutosha kuhusu huyo dada na aina ya kazi anayotafuta. Kutoa namba yake ya simu tu pengine haitamsaidia (labda kama ni "zile kazi zingine"!)
 
Anatafuta kaz ni mdada ana miaka 22 namba ya cm hii. 0758991110.

Kwa mtindo wa kutoa namba ya simu bila sifa za mwombaji wala aina ya kazi anayoitaka,kazi itakuwa ndoto kwake.
 
Huyu dada anajiuza hana lolote,anatafuta kazi gani sasa mbona ajataja? Qualifiacations zake? Wasichana tulieni acheni umalaya na kujiuza
 
HUYU DADA ANA LAKE JAMBO, KAZI BILA VIGEZO NA SIFA NANI ATAKUSIKILIZA. KAMA AMEKOSEA BASI AWEKE DETAILS ZAKE, HASA HASA TAALUMA YAKE, UMRI, UWEZO NK. SIMU ASIWEKE KABISA, UTATONGOZWA MBELE YA MMEO AU UNATAKA UWAPATE WANAUME. MH, UMECHEMSHA, MI SIKUPIGII.:rant:
 


Lengo lake ni kutafuta wanaume hana lolote huyo dada
 
Anatafuta kaz ni mdada ana miaka 22 namba ya cm hii. 0758991110.

Nimeamini, mwenye shibe hamjui mwenye njaa!! Yaani kama nawe ungeomba kihuni hivyo ndo ungepata hiyo kazi?!
 
Anatafuta kazi ambayo haiitaji uwe na cv ,yaani kazi ya kulala chali na kutoa v.
 
yuko upande gani mwa Tanzania, ni kule uwanaja wa fisi,buguruni kwa dogodogo,ambiansi bei mbaya au kinondoni paleeee! Hongera kwa ubunifu dada.
 
vip na wewe ulianika namba yako hivi?na wasiwasi na ajira ulivoipata.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…