Tena tubebe mafuvu, matunguli, masketletoni, majeneza, Maandamo yaanzi makaburi ya mashujaa Songea hadi kwa mtemi Munyigumba TaboraWakikunyima hiyo tuzo tuandamane
Hahaa we una yakotubora kabadili tu...alikuwa anatia kwenye vishawishi
Mkuu funguka tu nani huyooo?huyo jamaa anafaa kugombania tuzo nyingi maana hata namba 7 inamfaaNo 6 iende kwa yule jamaa ambaye jina lake ni dawa katika group la tetracycline..
HahhaaUmenipunguzia Kukuangalia.
.usiipate tu.
Watu naona wana wasiwasi na mdomo wake iwapo kama ndo anaolia chakula au anutumia kwa matumizi mengine.MYCINE
Af mbona watu mnamgwaya?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Nimlazimika kucheka bila kupenda,mm nina wasiwasi na matumizi sahihi ya mdomo wake yawezekana hautumiki kulia chakula bali kwa Excretion.Sababu anamaneno machafu zaidi ya Choo cha stendi aiseeeee......
Yule jamaa akikufungukia, unaweza jikuta unaLog off
Ohhhppppssssss....[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Nimlazimika kucheka bila kupenda,mm nina wasiwasi na matumizi sahihi ya mdomo wake yawezekana hautumiki kulia chakula bali kwa Excretion.
Ni shida sana aiseeOhhhppppssssss....
Mdomo wangu umebaki wazi kabisa... tehteehhh
Miss you baba[emoji23] [emoji23] [emoji15] [emoji15]
Akikujibu mbona utafurahi!!![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Nimlazimika kucheka bila kupenda,mm nina wasiwasi na matumizi sahihi ya mdomo wake yawezekana hautumiki kulia chakula bali kwa Excretion.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] yupoHapa tu ninapokukubali mkuu fursa kama hizi huwaga unazichangamkia mapema.
Hivi ndugu yako yule Mkuu MziziMkavu yuko wapi!?