ndio nini hii?
Mirinda Nyeusi hapa
unataka kutuletea nyuki mkuu.!!?
Stone tangawiiiiZ!
Halewi mtu hapa!
Nakuja na mzinga, shida ipo wap??
inategemeana lakini malikia!good pombe inazeesha sana
Hua hawaeleweki hao, wanaweza haribu hari muda wowote!!! hayo madude kanywee nyumban tu
Mango juice ndo mpango mzima
We naeeee... kwani unaumwa lol!!!
πππMirinda Nyeusi hapa