KadaMpinzani
JF-Expert Member
- Jan 31, 2007
- 3,715
- 92
Wanabodi
Je Na Mimi Naruhusiwa Kuposti Humu Au Mnanishaurije Maana Kada Mpinzani Keshanza
brazameni hao watu ni at least tunaweza kusema "respected" kwa kiasi fulani. hao unaowaweka wewe mhm haya mie !
kada na Gonga?
Is it because they are black?
Nyani ngabu vipi?
....achana naye, anapenda ma-size zero huyoooo, akizidisha sana size 8!!! ha ha
Nyani Ngabu nilitaka kumuwekea Candy Crowley wa CNN !
Loh! Mi Candy simwezi bana....
Niwekee totoz za FOX News.....