Erickb52
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 18,534
- 11,449
Watanzani wa vijijini ni mizigo tu hawana hata akili za kutambua mema na mabaya....wamechokwa kiukweli lakini kwa kuwa wao ni waasisi wa chama cha machangu, basi hawana idea kuwa wahawatakiwi na watanzania.
Tunahitaji hamasa za kutosha kuwaamsha watu!