Nafikiria kuwafungulia mashtaka JF, walitakiwa waweke warning somwhr kuwa UTUMIAJI WA JF NI.HATARI KWA KAZI YAKO, maana mtu ukiingia humu.hutamani kutoka kabisaa, unaweza poteza kibarua hivihivi.πππ
Mbona bidhaa au huduma nyingine wanaweka warning lable?!π‘π‘
Mfano sigara, pombe au hata baadhi ya magame ya computer?!
Msinipige BAN nataniaππ