JamiiForums ikikosa thread mpya kwa siku afya yangu inatetereka

JamiiForums ikikosa thread mpya kwa siku afya yangu inatetereka

Superbug

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
13,864
Reaction score
35,079
Jf inanipa uraibu mbaya Sana nimeshafanya kautafiti Yani kukiwa hakuna nyuzi mpya katika majukwaa yote huwa afya yangu inapata shida .

Mfano mafua makali
Kichwa kuuma
Mwili kuchoka haraka
Kushindwa kufanya maamuzi kwa wakati nk.

Je nifanyaje niondokane na huu uraibu wa jf?

Kuna wakati nashindwa kulala kabisa Kama sijapitia humu.
 
Back
Top Bottom