JamiiForums imenisaidia nimepata kazi

Hongera kwa kuwa mtu wa shukurani; wengi huwa wanasahau wanapopata lakini kumbe wewe hujawa mchoyo wa fadhila.

Nakutakia mafanikio kazini kwako
 
UmPM kumshukuru na aliyeleta hilo bandiko; itampa faraja kwamba ameimpact maaisha ya JF member; if you dont mind!
 
Be blessed, but kupata kazi ni kazi hasa usipokuwa na kazi, but also go back kwa muumba wako pia umshukuru.

Umeongea la maana sana. Ni vyema asimsahau muumba wake na sadaka atoe.
 
Hongera sana kwa kukumbuka kushukuru kwani ni wachache wenye kukumbuka kutoa shukrani...Mungu akubariki na akuzidishie uendelee kuwa na shukrani milele.
 
Hongera sana, sasa kumbuka kuchngia kwa hali na mali uwepo wa JF.
 
Hongera sana. Umeonyesha moyo kurudi na kutoa shukurani. Ni changamoto kwa wote wanaonufaika na JF, angalao kusema tu AHSANTE. Huu ni ukomavu, nimeona William Malecela kwa kupata mafanikio kisiasa na leo huyu kwa kupata kazi. Pia marehemu Regia Mtema, aliikumbuka JF wakati wote. Wapo wengine pia, si rahisi kuwataja wote, lakini ambao wameghafilika, waige mfano wa hawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…