@rayyoungHahaaa jamii forum almost wote matajiri tena waajiriwa wa serikali
Jamii forum kuna kale kashoga kanajulikana na watu wote jina lake linaanza na r.......hahaaaaaa
hahaaaaaaaa ahsante mkuuuu but me simo[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]@rayyoung
miss confidence sa Kama punga unamuogopa, nani utammudu?hahaaaaaaaa ahsante mkuuuu but me simo[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
HahahahahahahaWatumiaji wa JF hakuna mtu wasiyemjua, Wewe muulizie mtu yeyote humu, utaambiwa hadi rangi ya chupi anayovaa
ndo unakuta mtu anakufahamu zaidi ya unavyojifahamu
Wengine wanakuja na story za uongo wanachoandika wiki jana ni tofauti kabisa na wiki hii, wiki jana alisema amefaulu form 6, wiki hii anakwambia amepata sup 5 UDSM. cc HR 66610.Wengine hawajuagi hata kah mishahara imetoka au inatoka lini,ila akiingia JF anakuta watu wanasema mi mshahara nimeshakula au umetoka zamaniii.kumbe wengne wanasema mishahara ya jobs ambazo sio official.....mtu anajilipa mwenyew.
Duh hapo kuna kaukweli, watu wanakaponda kweli wakiwa humu but kwa taarifa ya kunyapianyapia PM yake imejaa mitongozo, nakumbuka kama vile namimi nimewahi kukapmHahaaa jamii forum almost wote matajiri tena waajiriwa wa serikali
Jamii forum kuna kale kashoga kanajulikana na watu wote jina lake linaanza na r.......hahaaaaaa