JamiiForums (JF) mpewe maua yenu kwa habari mnazopost, utafiti na kutokuwa Chawa. Hakuna anayewazidi

JamiiForums (JF) mpewe maua yenu kwa habari mnazopost, utafiti na kutokuwa Chawa. Hakuna anayewazidi

Mashamba Makubwa Nalima

JF-Expert Member
Joined
Mar 19, 2024
Posts
4,978
Reaction score
2,411
Nikiwa nataka kujua kuhusu nchi huwa natembelea page zenu IG na X. Hamna upande mko upande wa wananchi. Kipindi ambacho habari za kijamii zimekuwa zikikwepwa na vituo vingi nyie mmekuwa mkituhabarisha na kutafuta suluhu.

Shida za maji, barabara mbovu, umeme, huduma mbovu za afya, mashuleni, ofisini, milipuko ya majongwa, rushwa uraiani na ofisini yaani maeneo kibao.

Nimeandika haya kuonesha juhudi zenu tunaziona, mnatusaidia sana huku mtaani

Hongereni.
 
Nikiwa nataka kujua kuhusu nchi huwa natembelea page zenu IG na X. Hamna upande mko upande wa wananchi. Kipindi ambacho habari za kijamii zimekuwa zikikwepwa na vituo vingi nyie mmekuwa mkituhabarisha na kutafuta suluhu.

Shida za maji, barabara mbovu, umeme, huduma mbovu za afya, mashuleni, ofisini, milipuko ya majongwa, rushwa uraiani na ofisini yaani maeneo kibao.

Nimeandika haya kuonesha juhudi zenu tunaziona, mnatusaidia sana huku mtaani

Hongereni.
👏👏👏🙌
 
Back
Top Bottom