Jamiiforums kuna matajiri tupu

Jamiiforums kuna matajiri tupu

jembe afrika

JF-Expert Member
Joined
Jan 15, 2014
Posts
7,603
Reaction score
3,776
Kwakweli huwa nacheka sana maana thread za huku ndani inaonekana kila mtu mambo safi, anadrive, ananyumba, ofisi safi, anaenda nje mara kwa mara, je sisi tuliopanga na tuna baiskeli tu

Tuendelee kulogging in au tusepe, maana ukitafakari ni zaidi ya uswiss na marekani.
 
Jina lako fake kila kitu lazima kiwe fake,......usijitaabishe sana yote haya yanafanya kijiwe chetu kiwe kizuri sana,bila haya kijiwe kingekuwa bored.

Umesema kweli hapa nilipo nipo uturuki nageuza bongo kuna deal la milioni mia tano namalizia.nikifika bongo tukutane kwangu masaki kwenye ile range yangu nyeusi.
 
Kwakweli huwa nacheka sana maana thread za huku ndani inaonekana kila mtu mambo safi, anadrive, ananyumba, ofisi safi, anaenda nje mara kwa mara, je sisi tuliopanga na tuna baiskeli tu

Tuendelee kulogging in au tusepe, maana ukitafakari ni zaidi ya uswiss na marekani.
Sio kweli
 
Kwakweli huwa nacheka sana maana thread za huku ndani inaonekana kila mtu mambo safi, anadrive, ananyumba, ofisi safi, anaenda nje mara kwa mara, je sisi tuliopanga na tuna baiskeli tu

Tuendelee kulogging in au tusepe, maana ukitafakari ni zaidi ya uswiss na marekani.
Huenda kuna ukweli japo jf kuna na uongo mwingi kwani hata ID nazo ni fake.

Ila nakubali kwamba mpaka uingie mtandaoni simu yenye uwezo wa kudown-load inahusika au kompyuta,chaji ya simu nikimaanisha umeme na muda wa kukaa kuchangia hoja si mara nyingi utamkuta maskini anajihusisha na mitandao.

Kwako unayepanga,mi naona una uwezo kwani hicho chumba si unalipia? kwa maneno mengine wewe ni mfalme kwa anayekupangisha,maana unamwingizia hela.Hivyo jione na wewe ni tajiri na endelea kuitumia JF.
 
Back
Top Bottom