jembe afrika
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 7,603
- 3,776
Kwakweli huwa nacheka sana maana thread za huku ndani inaonekana kila mtu mambo safi, anadrive, ananyumba, ofisi safi, anaenda nje mara kwa mara, je sisi tuliopanga na tuna baiskeli tu
Tuendelee kulogging in au tusepe, maana ukitafakari ni zaidi ya uswiss na marekani.
Tuendelee kulogging in au tusepe, maana ukitafakari ni zaidi ya uswiss na marekani.