jembe afrika
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 7,603
- 3,776
Jina lako fake kila kitu lazima kiwe fake,......usijitaabishe sana yote haya yanafanya kijiwe chetu kiwe kizuri sana,bila haya kijiwe kingekuwa bored.
Mkuu ili ku counter argue, wewe post thread zako za kiswazi swazi ili kubalance jukwaa,
Sio kweliKwakweli huwa nacheka sana maana thread za huku ndani inaonekana kila mtu mambo safi, anadrive, ananyumba, ofisi safi, anaenda nje mara kwa mara, je sisi tuliopanga na tuna baiskeli tu
Tuendelee kulogging in au tusepe, maana ukitafakari ni zaidi ya uswiss na marekani.
Umesema kweli hapa nilipo nipo uturuki nageuza bongo kuna deal la milioni mia tano namalizia.nikifika bongo tukutane kwangu masaki kwenye ile range yangu nyeusi.
ha ha haaaa umeniua...nitakuazima baiskeli yangu mkuuUmesema kweli hapa nilipo nipo uturuki nageuza bongo kuna deal la milioni mia tano namalizia.nikifika bongo tukutane kwangu masaki kwenye ile range yangu nyeusi.
Umejihakikishiaje
sio helkopta kweli hahahahaaaaaaNgoja ni parki benzi langu hapa kisha niwajibu .ooh nimesahau funguo za nyumba yangu pale ofisini TRA duuu
Amesemaje..? Utaniambia baadae kwa skype sasa hiv nipo na-drive
mama fethi buku thijakuelewa,,,Umejihakikishiaje
Huenda kuna ukweli japo jf kuna na uongo mwingi kwani hata ID nazo ni fake.Kwakweli huwa nacheka sana maana thread za huku ndani inaonekana kila mtu mambo safi, anadrive, ananyumba, ofisi safi, anaenda nje mara kwa mara, je sisi tuliopanga na tuna baiskeli tu
Tuendelee kulogging in au tusepe, maana ukitafakari ni zaidi ya uswiss na marekani.