Mhe. The Bossdamn.
Ni league ya kuonyesha kuwa wewe mwanJF zaidi ya kukaa kwenye keyboard unajua mchezo gani na unatakiwa ushiriki kwa kupitia vidole vyako kwa kuonyesha kuwa kweli wewe ulishacheza au bado unacheza mchezo huoni league ya kugombea nini hii Mbuzi au?
Ni league ya kuonyesha kuwa wewe mwanJF zaidi ya kukaa kwenye keyboard unajua mchezo gani na unatakiwa ushiriki kwa kupitia vidole vyako kwa kuonyesha kuwa kweli wewe ulishacheza au bado unacheza mchezo huo
Haya kaka nimekoma sirudii tena unajua tena vidole vimezoea majukumu yake kwahiyo ni vigumu kuvizua kama ujuavyo mazoea yana tabu. Salute Chief
Team A
Team F
- Mwanafalsafa1
- PakaJimmy
- GudBoy
- Kigogo
- Bongolander
- Mndee
- Kilema
- Zhule
- Shamu
- YegoMasika
- SteveD
Substitute
Kocha: Ronaldinho
- Semenya
- Mpenzi wa Islam
- Cesc
- Boney
- K4Jolly
Du!!!!! Nadhani hii ndio timu ya kujiungaUshaona mtu anakimbiza mwizi kwa vigelegele... sasa hiyo ndio itakuwa MTM dream team!!!
thanks and be blessed Sir
this is what you believe and i cant criticise you in any way
Kaka sema ukweli ni kwenye miguu peke yake au na kwenye zipu pia? Ndio maana ulivyorudi kiwanjani magoti ya kawa yanagongana Mkuu. By the way issue vipi umekuwa adimu sana MkuuNimetoka kupasha wiki nzima unajua Safari zilikimbilia miguuni
Labda RUGBY.Nahisi itakuwa volleyball ndio maana wanasoka hatupo
Labda RUGBY.
Lol! Ingekuwa rugby. Chris angekuwa kwenye list.
binamu wewe si upo hapo kwenye kufukuza upepo, tena unaonekana unasuburi risasi ifyatuke!!
Hahahaha! Binamu nimeipenda avatar yako.
haaa, binamu nashukuru, kama kweli umeipenda dondosha thanx basi!!, ujue tangu JF ikorofishe juzkati thanks zetu zooooote zimepotea, unahabari hiyo binamu??
Lol! Kweli binamu. Tu thanks tumekuwa kiduchu sana. Jamaa wanatuonea gere nini? Leo mpwa Geoff naona katingwa. Hahaha! Shemeji yangu yule.
means nani anachukua dada wa mwenzake???