JamiiForums Legends of ALL Time

Nyani Ngabu asipo tajwa hapa anaweza kulia....

Maxence Melo

Kulia? Hapana.

Ila huwezi kuzungumzia legends wa JF bila Ngabu kuwepo.

Huo ndo ukweli.

Pia, wakikosekana Mzee Mwanakijiji, Mwafrika wa Kike, Kyoma, Kuhani, Kisura, Binti Maringo, Dar si Lamu, Tibwilitibwili, Ogah, Moelex, Augustine Moshi, Lunyungu, Bi Senti 50, Mkandara, na wengineo ambao labda nimewasahau basi orodha itakuwa haijakamilika kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…