Hahahahaa nna historia ndefu na huyu mtu hivi yupo? Nilipotezana nae mazima.
Hahahaha mkuu mpe hi nakumbuka enzi zenu za rais wa chit chat na zile kambi za akina lady doctor hivi huyu pia yuko wapi?Mke wangu mpenzi...hakumbuki nywilla za akaunti yake
Sikuwahi fikiri wewe ni KE aiseeWOTE NILIOWATAJA WAMENITONGOZA SANA INOBOBO............. ILA MMOJA NI WANGU NA SINA MPANGO WA KUMUACHA NATAKA NIMLOGE KWAKWELIHAHAHA
Where is this guy. Kiboko wa lara1.