Eeeh mwanangu mtaji unakua.... capital ya maana halafu saving nafanya kwenye international banks maana banks zetu ndio vile e tena
Mi nilimwambia uchawi alionao unatoshambona alisema wewe ndio ulimkimbia baada ya yeye kutaka kugonga deal la uganga
Hatari sana. Naskia na wewe umekuwa hendisamu boi zaidi ya vile eti hadi FaizaFoxy anakula ugali kwa picha yako... eti apetaizaWezi hao cheza nao mbali kabisa. Hawakawii kukwambia ile milioni 15 yako tutakupa 1.5 million tu TUMEFILISIKA. Unaweza kulia kilio cha mbwa mdomo juu. Milioni 13.5 ndiyo bank washaikwapua.
Alikuja na stor moja ya kuathirika nililia sana na kumuonea huruma kumbee duuuu!!! Mentor upo wap?!Mentor mwimba kwaya hyu
Yupo chimbo anaandaa story nyingine eti ili ulie tenaAlikuja na stor moja ya kuathirika nililia sana na kumuonea huruma kumbee duuuu!!! Mentor upo wap?!
Haaaahaaaaa mkuu mimi ni anakuja Yesuooh!! sorry wewe ni She au He??
Huu mwaka wa kuzunguka sawasawa na Yoshua 6:1-.......,Hakuna kulia tena nikushangilia hadi jeriko ianguke.Yupo chimbo anaandaa story nyingine eti ili ulie tena
NIMESHANGAA MPAKA NO 5 HUJANITAJA WAKATI ULIKUWA UNAKAMUA KWENYE THREAD ZANGU ZA MAMA PAROKO, MFUNDAJI WA KISASA AISEEEE SIKUMBUKWI HATA HAPA
kabadili ID kutokana ile thread yake hahaaaaaaaMentor,sijui yupo maana nimemkumbuka saana
mm naomba nikuone live maana nimesikia Husninyo anasema wewe ni hendsam boy hahaaaaaaWezi hao cheza nao mbali kabisa. Hawakawii kukwambia ile milioni 15 yako tutakupa 1.5 million tu TUMEFILISIKA. Unaweza kulia kilio cha mbwa mdomo juu. Milioni 13.5 ndiyo bank washaikwapua.
UHUHUHUHUHU!Afu weww mwanamke wewe.
Weuuuweee!
Basi tu nakupendaga ila jambazi!