Jamiiforums member's party

Jamiiforums member's party

Miss Curious

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2018
Posts
315
Reaction score
497
Wapendwa wana jf MMU, GTs, PF,
Chit chat na majukwaa yote ya Jf like JLW mnaonage tukaorganize kitu ili ikiwezekana one day tujumuike sehemu fulani na kusherekea pamoja ikiwa ni ishara ya kusupport jitihada kubwa zinazofanya na Jamiiforums under the umbrela of Maxence Melo kwani kubuni kitu alafu kikawahamasisha watu na pesa zao, elimu zao, majina yao na dhiki zao sio kitu cha mchezo.

Ombi langu kama mdau na mkereketwa wa Jf niombe uongozi wa Jf ufikirie hili swala and we are ready to discuss everything about all this!

I will be happy to party together with Nokia83 Mshanajr miss chagga miss confidence @MissNatafuta, Shunie Daby Mama Sabrina brina NAHUJA Shana Chuma Norshad Hajar Davet Mwifwa ukhuty Demiss Joseverest Jolie Jolie Asprin Sky Eclat kawoli to mention few.

Natumai wependwa member wenzangu mtaniunga mkono mawazo yangu.
Mwaaa I love you all!

NB
Hatutatambulishana coz wengi tunatumia ID fake ili wenye nia mbaya na Majukwaa yetu wakwame na kwakuwa tupo kisheria tutakuwa huru kama siku zote.
 
Hahaaa. Ilishawezekana tukakutana watu wanne kwa wakati mmoja naona inatosha ila rundo la watu. Hapana aiseee.

Sababu jf ya sasa sio ile ya zamani na hilo linajulikana.

Davet, ukhuty na Mwifwa wanatosha kwa upande wangu sababu tukikutana kwetu huwa ni zaidi ya Party.
Hahah!! Nikikumbuka Mwifwa na ule unywaji wake wa Balimi
 
Hahaaa. Ilishawezekana tukakutana watu wanne kwa wakati mmoja naona inatosha ila rundo la watu. Hapana aiseee.

Sababu jf ya sasa sio ile ya zamani na hilo linajulikana.

Davet, ukhuty na Mwifwa wanatosha kwa upande wangu sababu tukikutana kwetu huwa ni zaidi ya Party.
Usiseme hivyo swetiee alatu nmekusaha while nakufatilia sana post zako
 
Siwezi kuwataja wote mpenzi I'm sory ndio maana nimeandika to mention few but let add you over there
Usiseme hivyo swetiee alatu nmekusaha while nakufatilia sana post zako
Daah kuna uzi uliletwa humu unasema wanawake wanaongoza kwa unafiki wa kuitana majina mazuri mazuri kama SWEETIE,MPNZ so nimeona hayo maneno umeyatumia hapo juu nikawa nimekumbuka hio thread hahah,samahani lkn mkuu.
 
Back
Top Bottom