Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,577
Kumbe siku hz anaitwa jiwe!?Ooooh unaweza shangaa unaenda kwa nia njema ila wasiojulikana wakatokea wakakubana mbavu mpaka useme humu ndani unatumia ID gani waangalie michango yako kama iko negative kwa jiwe!
Hata mm pacha umenitenga duuuuuuuuuuuuuu
humu **** watu kweli mtu unaweza jisikia amani kwenda kukutana nao, na ni wachache. Wengi kwa kuangalia post zao tu zinakatisha tamaa, yani inaonesha unaenda kukutana na watu wa aina fulani/ wa ajabu ajabu tu wasiojielewa.
Ila sio mbaya maana hata huu utoto wanaopost kuna wengine wanaupenda, so wakikutana wao kwa wao wataenjoy.
Kila la kheri katika kufanikisha party hii, msiache kuleta mrejesho labda nami nitahamasika kuhudhuria party ijayo.
This is chit-chat my dearI wish ningekuwa na access ya kufuta comment negative kama hizi!
Jf angalieni hili yani iwe kama mitandao mingine ya kijamii mwenye mada awe na access ya kufuta baadhi ya shit kama hizi zinakatisha tamaaaa
Hahaaa. Jamaani lol. [emoji85]Hata mm pacha umenitenga duuuuuuuuuuuuuu
Then?This is chit-chat my dear
watu Hawako seriously jokes 95% hizo 5% ndio za u seriously kama wako[emoji23] [emoji23] [emoji23]Then?
Hiyo Party inabidi iwe after Ramadhani... bila hivyo wengine itatukosa.Endelea kutembelea uzi huu kwa updates
Nishagundua hunipendi itakuwa tulitoka mifuko tofauti tofauti si kwa kunisahau hukuHahaaa. Jamaani lol. [emoji85]
Naja Pacha tuzungumze vizuri. [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Hahaaaa. Nakupenda Pacha ondoa hofu bwana.[emoji7] [emoji7]Nishagundua hunipendi itakuwa tulitoka mifuko tofauti tofauti si kwa kunisahau huku
Hata mimi nawamisi sana tu,nitakuja kufuturu huko one day,msalimie sana mpendwa wangu popote alipo.hadi tunakumiss ujue
usijali zitamfikia popote alipo tunakusubir kwa hamuHata mimi nawamisi sana tu,nitakuja kufuturu huko one day,msalimie sana mpendwa wangu popote alipo.
Uskonde sweetiee coz this is one of our considerationHiyo Party inabidi iwe after Ramadhani... bila hivyo wengine itatukosa.