Jamiiforums member's party

Napita

my right to receive anything based in the blood of JESUS
 
"Mimi ndo demiss,ila pia ID yangu nyingine ni Gudume"..naimagine tu
Tabu itakuja pale ambapo wanaume wengi tutaenda na kutegemea kwamba tunaonana na watoto wazur wa jf ,,,halafu unashangaa pati yote wamejaa wanaume tupu na inagundulika kuwa kumbe hizi I'd za kike humu ni wanaume wote wameamua tu kujifanya wanawke,,,nazani lazima ngumi zitapigwa humo ndani
 
Unakuta mzigua ni bonge moja la jamaa...
 
Ahahahahahhaah mama sabrina mwanaume jamaniii lazima ngumi zipigwe
 
Duh!
Ikiwa hivyo si hatari
But I believe hata kama zipo ID with fake genders but mwanawake tutakuwepo jamaniii!
Kingine wanaume msidhani hii ni party ya kuunganisha wachumba but ikitokea hivyo sio issue kikubwa kila mtu anajielewa na sitegemei home of great thinkers waanze kupigania wanawake.
NB
Hii ni fursa kwa wale dada na kaka zetu wanaoendelea kutafuta wachumna kupitia Love connect kikubwa ukifika pale angalia watu ambao unachat nao pm waambie umevaaje na umekaaje na upange gani ili wathaminishe kama unakidhi vigezo au laaa kuepusha shariii. Ila kama bibie unajijua huendani na mikogo yako ya MMU na Sifa zako unazozitaja Love connect bora tu utuliee ni hayo tu .
Nawapenda sana nitahakikisha inakuwa kweli .
 
Mara paap! Mshana Jr kalewa anatoa siri za yale mambo anayoongeleaga kwenye nyuzi zake tayari watu washamjua hahahaaaa nacheka kizaramo!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…