JamiiForums na LHRC zasaini Mkataba wa Makubaliano ya Ushirikiano wa Kimkakati

JamiiForums na LHRC zasaini Mkataba wa Makubaliano ya Ushirikiano wa Kimkakati

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Joined
Aug 7, 2018
Posts
685
Reaction score
1,124
25.jpg

Taasisi za JamiiForums (JF) na Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) zimeingia Makubaliano ya Ushirikiano (MoU) katika masuala anuai ikiwemo kuhakikisha uwepo wa Sera bora nchini; kuimarisha Haki za Kidijitali, Uwajibikaji, Utawala Bora, kuchochea Haki ya Utoaji na Upatikanaji wa Taarifa Sahihi kwa wakati na utetezi wa Haki za Binadamu

Ushirikiano huu unatarajiwa kuongeza ushiriki wa Wananchi katika Maendeleo ya Kisiasa, Kijamii, na Kiuchumi, Kidigitali kwa maarifa zaidi, huku ukikuza Majukwaa jumuishi na salama kwa Mijadala yenye tija kwa Umma na Taifa.

Makubaliano hayo yametiwa saini na Mkurugenzi Mtendaji wa JF, Ndg. Maxence Melo na Mkurugenzi Mtendaji wa LHRC, Dkt. Anna Henga.
26.jpg
27.jpg
28.jpg
 
Back
Top Bottom