JamiiForums naomba mnipokee

we sio mpya kabisaa umetuekea embe dodo limenona ili mate yatutoke

asee umetukosa hasa mimi umenikosa

Bora hata salma alituwekea ka dada ka kawaida ila wewe

unaonekana mzeee wa Mission

Nimejiandikia tu kwa hasira nakuja PM lydia
 
we sio mpya kabisaa umetuekea embe dodo limenona ili mate yatutoke

asee umetukosa hasa mimi umenikosa

Bora hata salma alituwekea ka dada ka kawaida ila wewe

unaonekana mzeee wa Mission

Nimejiandikia tu kwa hasira nakuja PM lydia
Mimi ndio huyo na sio mwingine so sijajakumtamanisha mtu maana hata mkiingia hapa mtaishia kuchunwa hela za vocha tu bora mtulie
 
Kama wewe ni "ke" njoo pm
Za leo wakubwa kwa wadogo mimi lydia james leo nimejiunga na mtandao huu kwa lengo la kukuza ufahamu katika mambo mbalimbali naomba mnipokee kama mgeni wenu tushirikiane
 
Mimi ndio huyo na sio mwingine so sijajakumtamanisha mtu maana hata mkiingia hapa mtaishia kuchunwa hela za vocha tu bora mtulie
kama wewe ndio huyo we nichune tu hata NGOZI ukitaka

vocha haitoshi mama niparue haya mavinyweleo yoteee

ikiwa tu kweli wewe ndio huyo

SASA ole wako nikute ni kakitu ka ajabu nakwambia UTATAPIKA

ulivyonchuna so kwa sasa naomba shika wembe Jiandae Najimuvuzisha PM.
 
[emoji23] [emoji23]
 
Za leo wakubwa kwa wadogo mimi lydia james leo nimejiunga na mtandao huu kwa lengo la kukuza ufahamu katika mambo mbalimbali naomba mnipokee kama mgeni wenu tushirikiane
Welcome Lydia Ila jiandae pm yako kufurika.
 
Mimi ndiye chief editor wa humu kwa members wote, mgeni unapofika humu ni muhimu kuja pm kwa utambuzi zaidi. Tofaut na hapo nitakupa ban usione wala kupost chochote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…