JamiiForums nimekuja mnupokee mja wenu

JamiiForums nimekuja mnupokee mja wenu

Chuda Kashara

JF-Expert Member
Joined
Sep 5, 2016
Posts
849
Reaction score
555
Mabibi na mabwana wa jamiiforums hodi! Baada ya kukaa nje na kufurahia ladha ya JF kama guest, leo nami nimeona ni vyema nijitose kuogelea humu ndani.

Nimependezwa na kila kitu kinachotendeka humu jukwaani, hoja nzito, mada zenye ladha ya kila namna, pamoja na wachangiaji mahiri.

Basi itoshe kusema kwamba nimependezwa na JF ndio sababu ya kujiunga. JamiiForums nimekuja mnipokee mja wenu.
 
Karibu sana, busara na hekima vikutawale
 
Asanate sana mkuu kwa ukaribisho, ila sijakuelewa kuhusu kuchagua jukwaa na mrengo.
Kuna manguli wa majukwaa flani flani inawezekana ndio waliokuvutia kujiunga...na pia kuna kambi mbili muhimu katika Jukwaa lasiasa(jukwaa mama) ...hizi kambi huwa hazitangamani kabisa ingawa hawarushiani ngumi...

lakini pia kuna kambi za kidini....

Naamini umenielewa kama kweli wewe ulikuwa guest mzoefu
 
Kuna manguli wa majukwaa flani flani inawezekana ndio waliokuvutia kujiunga...na pia kuna kambi mbili muhimu katika Jukwaa lasiasa(jukwaa mama) ...hizi kambi huwa hazitangamani kabisa ingawa hawarushiani ngumi...

lakini pia kuna kambi za kidini....

Naamini umenielewa kama kweli wewe ulikuwa guest mzoefu
Ndiyo Mkuu, nina uzoefu wa kusikia maneno kama UKUTA, SIJARIBIWI, VYAMA VYA UPINZANI(VVU)....makapuku, atheist kule intel. na mambo kibao mkuu wangu japo siyo sana.
 
Back
Top Bottom