SoC02 Jamiiforums shule ya bure iliyonipa mafanikio

SoC02 Jamiiforums shule ya bure iliyonipa mafanikio

Stories of Change - 2022 Competition

Innocent Kirumbuyo

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2014
Posts
4,641
Reaction score
4,457
Hello
Kwa majina naitwa Innocent Kirumbuyo.

Ilo ndilo jina langu nililopewa na baba yangu mzazi mwalimu wilifred kirumbuyo na mama yangu Benedetha Beda masawe

Elimu yangu ni kidato cha nne
Nimehitimu shule ya sekondari Siha sec mwaka 2012

Ok

Tuende kwenye mada moja kwa moja.

Nikiri jamiiforums kwa mara ya kwanza niliisikia kupitia kaka yangu kipindi hicho inaitwa Jambo forum.

Nakumbuka siku nyingi sana kipindi hicho matumizi ya mtandoa ayajashika kasi na simu zakuingia kwenye mtandao azipo kwa wingi hivyo sikufatilia sana.

Hadi miaka ya 2012 nakumbuka ndio nilianza kufatilia jamii forum kwa ukaribu

Mwaka 2013 ndio nilifatilia sana jamii forum kulikuwa kuna maada nzuri sana upinzani wa kisiasa upinzani wa Diamond na Ali kiba, upinzani wa mpira wa miguu yani huo mwaka kulikuwa na nondo za kushiba

Mwaka 2014 ndio mwaka niliojiunga na mtandao wa jamii forum rasmi baada ya kuvuti na michango na uwezo member Kiranga lara 1 Nifah Mshana Jr miss chaga nk

Toka kipindi hicho sijawai kujuta kujiunga na huu mtandao kwasababu umenijenga umenibadilishia maisha yangu umenikutanisha na watu wakubwa nafarijika sana na kujivunia kuwa member kwenye ili jukwaa ndio mtandao wangu pendwa

Nasema hivi kwasababu nakumbuka mwaka 2019 kupitia jukwaa ili niliwasiliana na member moja GLOBAL CITIZEN alinifundisha mambo mengi ndio chanzo Cha kunipa wazo la kufanya biashara mtandao paka sasa hivi natengeneza pesa nzuri kupitia kuuza bidhaa zangu mtandao
Jukwaa ili la jamii forum ndilo lilinikutanisha na member Paula Paul nikavutiwa kusoma vitabu paka sasa na ndipo nilipopata wazo la kuuza vitabu paka sasa napiga pesa nzuri

Kusema kweli kwangu jamii forum imekuwa msaada mkubwa sana yani kwenye biashara ya vitabu siwezi kumaliza wiki sijauza vitabu
Au viatu vyote hivi nimepata kwasababu jamii forum
Naamini siyo mimi tu wapo maelfu ya watu wamesaidiwaa na huu mtandao wamebadilisha maisha yao

Nawaomba mkaribishe ndugu jamaa na marafiki kwenye ili jukwaa kwasababu kwanza ndio jukwaa lililo huru kutoa maoni yako hapa unapata msaada na mawazo mbalimbali hapa unapata elimu burudani na ushauri bure unakutana na wanasiasa na watu maarufu mbalimbali

Mungu awabariki @maxmelo na wote waliofanikisha kuwepo kwa jamii forum

Mwisho kabisa nakaribisha watu kutoa ushuhuda toka uijuwe jamii forum manufaa uliyoyapata vipi imebadili maisha yako

Karibu sana
 
Upvote 5
Hii mara ya kwanza kuwasiliana GLOBAL CITIZEN
Screenshot_2022-08-30-21-19-40-77_73617a28b0d3e7e6a04848a88f233e6b.jpg
 
Hello
Kwa majina naitwa Innocent Kirumbuyo.

Ilo ndilo jina langu nililopewa na baba yangu mzazi mwalimu wilifred kirumbuyo na mama yangu Benedetha Beda masawe

Elimu yangu ni kidato cha nne
Nimehitimu shule ya sekondari Siha sec mwaka 2012

Ok

Tuende kwenye mada moja kwa moja.

Nikiri jamiiforums kwa mara ya kwanza niliisikia kupitia kaka yangu kipindi hicho inaitwa Jambo forum.

Nakumbuka siku nyingi sana kipindi hicho matumizi ya mtandoa ayajashika kasi na simu zakuingia kwenye mtandao azipo kwa wingi hivyo sikufatilia sana.

Hadi miaka ya 2012 nakumbuka ndio nilianza kufatilia jamii forum kwa ukaribu

Mwaka 2013 ndio nilifatilia sana jamii forum kulikuwa kuna maada nzuri sana upinzani wa kisiasa upinzani wa Diamond na Ali kiba, upinzani wa mpira wa miguu yani huo mwaka kulikuwa na nondo za kushiba

Mwaka 2014 ndio mwaka niliojiunga na mtandao wa jamii forum rasmi baada ya kuvuti na michango na uwezo member Kiranga lara 1 Nifah Mshana Jr miss chaga nk

Toka kipindi hicho sijawai kujuta kujiunga na huu mtandao kwasababu umenijenga umenibadilishia maisha yangu umenikutanisha na watu wakubwa nafarijika sana na kujivunia kuwa member kwenye ili jukwaa ndio mtandao wangu pendwa

Nasema hivi kwasababu nakumbuka mwaka 2019 kupitia jukwaa ili niliwasiliana na member moja GLOBAL CITIZEN alinifundisha mambo mengi ndio chanzo Cha kunipa wazo la kufanya biashara mtandao paka sasa hivi natengeneza pesa nzuri kupitia kuuza bidhaa zangu mtandao
Jukwaa ili la jamii forum ndilo lilinikutanisha na member Paula Paul nikavutiwa kusoma vitabu paka sasa na ndipo nilipopata wazo la kuuza vitabu paka sasa napiga pesa nzuri

Kusema kweli kwangu jamii forum imekuwa msaada mkubwa sana yani kwenye biashara ya vitabu siwezi kumaliza wiki sijauza vitabu
Au viatu vyote hivi nimepata kwasababu jamii forum
Naamini siyo mimi tu wapo maelfu ya watu wamesaidiwaa na huu mtandao wamebadilisha maisha yao

Nawaomba mkaribishe ndugu jamaa na marafiki kwenye ili jukwaa kwasababu kwanza ndio jukwaa lililo huru kutoa maoni yako hapa unapata msaada na mawazo mbalimbali hapa unapata elimu burudani na ushauri bure unakutana na wanasiasa na watu maarufu mbalimbali

Mungu awabariki @maxmelo na wote waliofanikisha kuwepo kwa jamii forum

Mwisho kabisa nakaribisha watu kutoa ushuhuda toka uijuwe jamii forum manufaa uliyoyapata vipi imebadili maisha yako

Karibu sana
JF ni kitendea kazi(zana) inategemea unakitumiaje.. Ukikitumia vizuri utaona matunda yake mazuri ukikitumia vibaya utaona makali na hasara zake.. Hongera na asante kwa mrejeshio Innocent Kirumbuyo
 
Back
Top Bottom