Jamiiforums, the swahili Wikileaks!

pingli-nywee

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2015
Posts
11,923
Reaction score
13,350
Habari hii niliiona mwaka jana. Kwa mtazamo wangu, kuna wanaotambua kazi nzuri inayofanywa na jukwaa hili la JF. Cha kushangaza ni kwamba hata sio WanaE.A, wala hata si wanajamvi hapa JF. Wakuu, Jukumu letu kuu kama 'members' wa Jamiiforums 'fraternity' si kuchangia tu! Bali pia nikumpa support @Maxence Mello, ili jukwaa hili liendelee kupaa na kutumika na wote wakenya kwa watanzania, kama kioo cha jamii.SUSPENDED REALITY; Tanzania's anti-corruption government is stifling the 'Swahili Wikileaks'!
 
Hivi Watanzania waliacha kumfuata muasisi wa JF Maxence, alikua anakamatwa kamatwa sana, sijui issue zake zilifikia wapi. Unajua huko Bongo kuna watu wasiojulikana, ajihadhari nao sana.

 
Hivi Watanzania waliacha kumfuata muasisi wa JF Maxence, alikua anakamatwa kamatwa sana, sijui issue zake zilifikia wapi. Unajua huko Bongo kuna watu wasiojulikana, ajihadhari nao sana.

Aisee! Itakuwa kitu cha huzuni sana, kama atakosa hata wa kupiga kelele tu, kwa niaba yake, wakati tupo wengi humu. Kazi ni kuchapia tu maemoji kwenye jukwaa lake. Mungu amuepushe na hayo! Amina! Yaani mwaka wa 2017 pekee yake, alifika mbele ya hakimu mara 51!
 
Usiwe na hofu yupo salama sana na jf itabaki kuwepo milele na milele ayaaa semeni ameeen....
 
Usiwe na hofu yupo salama sana na jf itabaki kuwepo milele na milele ayaaa semeni ameeen....
Amina! Ila isije ikawa tunaongea tu lakini hamna akshen! Kuna avenue nyingi, na mitandao ya kijamii ni mingi tu. Inafaa tutumie fursa hizo kukemea hii sumbua sumbua, jf isije ikayumbayumba bila ya hata sisi kugutuka. We have the numbers, why not do something? Each and everytime this sh#t happens.
 
Unatakiwa ujue kwanza alikua na kesi gani..ndio maana nmekwambia he is owk coz kesi yenyewe hawawezi kumfunga coz hajavunja sheria wala katiba ila wanaomshtaki ndio wanataka kuvunja katiba sawa mkuuu
 
Unatakiwa ujue kwanza alikua na kesi gani..ndio maana nmekwambia he is owk coz kesi yenyewe hawawezi kumfunga coz hajavunja sheria wala katiba ila wanamshtaki ndio wanataka kuvunja katiba sawa mkuuu
Mkuu leta taarifa kamili, ya kesi zake, na zimefikia wapi. Tafadhali. Naamini itakuwa ni kwa manufaa ya wengi sana hapa jf.
 
Reactions: Oii
Fafanua unachomaanisha mkuu. Sijanuia uzi huu uwe wa kuipoda serikali yeyote ile. Huku Kenya tuliona stesheni za televisheni zikifungwa. Vita hivi ni kati ya wale enlightened, kama utanikubalia nitumie lugha ya malkia, na wale ambao wanataka tubaki gizani!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…