JamiiForums ukihitaji POVU, fanya haya..

Hawa jamaa nao wanaunganaga haraka hapo bila kujali kina delicious na kina chief engineer [emoji16][emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nimecheka Sana aiseeee loh!!!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nimecheka tena kwa sauti kubwaaaa
 
Kachukue kret moja basi tukae zetu humu tusahau shida... bill nitalipa
Hahaaa wakija watoa povu,hatutakunywa kwa raha hapa. Kinywaji kitajaa povu tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…