JamiiForums ukihitaji POVU, fanya haya..

wahitimu wa udsm ndo walioifikisha hap nchi, hilo povu linajaa chumba kizima
 
Jirani kwani unataka unipe kazi kukuzika mapema? Yule kayakanyaga matanesco zamani
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji119] [emoji119] nashukuru jirani kwa upendo wako sitakanyaga huko
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji119] [emoji119] nashukuru jirani kwa upendo wako sitakanyaga huko
Kwa hiyo kwa upendo wako na we vipi jirani?
 
Mimi mashuka siachi aseeh nayavaa hata nje ya mipaka.

Sasa hicho kibamia kimetoka wapi aseeh mbona hatuna hiyo sifa
Nasema tu kibamia ili siri yangu isijulikane na mzigo nilionao[emoji16] [emoji16] [emoji16]
 
Waseme wanawake above 30 Kama miss nnatafuta Na Kassie uone povu lake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…