hivi mkuu hii ndio style yako mpya ya kuchangia katika threads?Checking...100%
Network searching...0%
Network failed!
Near by Number one Mbeya.
[emoji56][emoji56][emoji56]
Nimesikiliza kaimba DJ vigilante ft L tido,kid X,maggz,yanga . . .nzuri kiasi chake ila sijaelewa ni lugha gani ileClub bang fulani
Dj vigilante ft L tido wengine nimewasahau
AnhaaKizulu.. na English kidogo...
Sio muhudhuriaji mzuri wa maeneo hayoKama unaendaga viwanjani utaelewa tu... ila kama hauendi ufutwe tu [emoji16]
[emoji23] [emoji23] VarsagodOouh gracious. Haha
Tena siku hiyo utatamani kuhama JFUmesahau;
5. Msifie JPM, hilo povu la bavicha ni shida!
Haroo vipi bado umelewa au hujaamka?Hii thread ina bahati mbaya nimeiona nikiwa nimeshalewa. Ngoja nilale afu kesho nichangie vitu vya maana...
Mi sipendagi ujinga to zet eksitent
Censor kiaje?Halafu mod hawajawekea hili neno pumbu censor kwanini wakati papuchi inayo! Au hawakiheshimu hiki kiungo.
Sina povu mimi tehteh