[emoji51] [emoji51] [emoji51] [emoji51] [emoji51] nimecheka kama niko naliona povu la watu wa kitoana povuHaha unakuta watu wanaongelea bunge wewe unataja idadi ya ma X haha
Tungekuwa tunakutana live watu wangeogopa kutoa mapovu maana wange ogopa kudharauliwa wange punguza sana mapovu ila sio mbaya maana mapovu mengine yantuonyesha mtu alivyoAseeh humu kuna watu wanamapovu mkuu sipatii jf kama tungekuwa tunakuta live
Ndo ilivyo mkuu kuna mtu kila ukisoma komenti zake inaonyesha na maisha yake halisi maana anamwaga povu kama anakuona live[emoji16][emoji16][emoji16]
Mi huwa simwagi povu nikiona kinacho jadiliwa hakinihusu napita pembeniWewe hujawahi mwaga povuuuu?
Mi huwezi kunikamata maana mi huwa naandika misamiatai sana ambayo usipo elewa basi[emoji16][emoji16] aah wapi ngoja nianze kukufuatalia chinichini
Analysis yako imenifurahisha!!! Kweli kuna mada ukianzisha ukae mkao wa kupokea mapovuNaona watu kwenye huu uzi mnafurahi wakati kwenye nyuzi zingine mnakunjaga sura haha