Victor wa happy
JF-Expert Member
- Apr 24, 2013
- 11,660
- 11,654
Umejuaje kama anamaanisha V.A.R?V.A.R sio V.R Shwain kabisa
Ilipigwa na upepo wa kisulisuli baada ya kupata maagizo kutoka juuHiyo foleni ilikataje kona na wengine kupotea.
Watatu wakapotea kusikojulikana? [emoji15]Ilipigwa na upepo wa kisulisuli baada ya kupata maagizo kutoka juu
Kwani kina Azory na Ben Saanane ilikuwaje?? Huyo maza aliyekalishwa kapata zari kama la Roma MkatolikiWatatu wakapotea kusikojulikana? [emoji15]
wewe umejuaje kama hamaanishi?Umejuaje kama anamaanisha V.A.R?
uliiweka wapi?'A' itakua imedondoka ila nakumbuka niliiweka