JamiiForums ya Maxence Melo imenipatia mume. Clepatina naolewa

Sisi kamati ya roho mbaya, wazee wa kula tunda kimasihara tunasema MTAACHANA TU!
 
Na hako katako ungekosa ningeshangaa sana 😎
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wifi anaendeleaje lakini
Analeta lini thread ya kutangaza ndoa[emoji23][emoji23][emoji23]
Niko na google translator yangu hapa maana kwa kuandika kiarabu siwawezi
Soon narudi single again, nitasema yoteeπŸ˜‚πŸ˜‚
 
Yeah! That dude...thanks for reminding me 🀣🀣
Nilipo kuthaminj na kukupa Moyo
Hata kutendwa sikufikiri,
kinywa kizito, kukubali ukweli
Ukweli Roho inauma
Inaniuma ni hatarii

Basi nenda, nami nipate muda wa kutulia, Basi nenda, nami Nita udanganya Moyo utatulia
IamBrianLeeSnr
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…