JamiiForums ya Maxence Melo imenipatia mume. Clepatina naolewa


Mbona hakuna mwanaume Mwenye Sifa Hizi Ulimwenguni,Hizo Sifa huenda unaziona Wewe tu.Maana kiuhalisia Hizo Ni sifa Zangu
 
Umejiunga mwaka huu wewe dada , ulikuwa na id nyingine au???
 
Huu mwaka hashi kabla hujaja na thread yakulialia, sikutabirii mabaya ila kuwa na mpenzi kabla/nje ya ndoa ni uzinzi sawa na kununua Malaya au kudanga. Na uzinzi haujawahi kumuacha mtu sallama.
Nipo palee nimesimama
Nina wasiwasi na ndoa yake .Amekiri kuwa moyo wake uko kwa mgweno,lakini anataka kuolewa na mtu mwingine .Akikutana na stress kidogo tu atamtafuta mgweno ampoze.Ningekuwa mimi ndiye muoaji maneno yake haya tu yangetosha kuvunja uhusiano.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…